Wakati wa ujauzito moja ya changamoto mama anayopitia ni maumivu ya kiuno na mgongo
Kila style unayolala unajikuta huwezi🤰🏼
@nursing_pregnancypillowtz
Ni marafiki wa faida
Wamekuletea mito mizuri (pregnancy pillow)ya kukufanya upate raha wakati wa kupumzika na kukuacha salama wewe pamoja na mtoto unayemtarajia na hata kwa yeyote(asie mjamzito) anaesumbuliwa na mgongo,nyonga,mwanaume au mwanamke pregnancy pillow itakusaidia kupata ahueni (relief) ya maumivu na baada ya kujifungua utapatiwa mto mzuri(nursing pillow) wa kukusaidia wakati wa kunyonyesha usiumie mgongo na kukuchosha mkono, kumpumzisha mtoto na kumpa support anapoanza kujifunza kukaa. -Pregnancy pillow Tsh 120,000/-
-Nursing pillow Tsh 60,000/- Tunafanya delivery (kwa Dsm)mikoani tunatuma kwa gharama za mteja
Wasiliana nasi kupitia +255782591235 (whatsapp),0754/0622-585122 (kupiga)
#NPP_tz#Tunajali#Tunakujali#Medical#Health#Breastfeedingpillow#Nursingpillow#Babycomfort#Babyshowergift#Motherhood#Pregnancypillowstz
![](http://scontent.cdninstagram.com/vp/aba5a2ec8dbb5d819973dee8db19c60c/5B320B69/t51.2885-15/s640x640/sh0.08/e35/28764897_2032998160314377_3679294823723958272_n.jpg)